New Ads

computer solution

COMPUTER TRICK: Jifunze namna ya Kuweza ku-root simu za Android



Habari wapendwa nipo pamoja nanyi mpaka kieleweke leo tuzungumzie japo kwa uchache maelezo ya kufanya Root kwenye simu zetu za android  
kabla ya kuanza kuroot simu yako kutabatilisha warranty na muuzaji wako aliyekuuzia , pi root at your  own risk i will not be hold responsible for any negative outcomes

 
 

ANDROID ROOTING NI NINI?


Ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa smartphones, Tablet na vifaa vingine vinavyotumia Oparetion sysetm ya android kupata uwezo  kukiendesha kifaa au simu ya android katika kiwango cha hali ya juu


Rooting mara nyingi hutumika kwa lengo la kuondo overcome limitations ambazo zimewekwa na watengenezaji wa vifaa vya android 





FAIDA ZA KU-ROOT


Rooting ina faida nyingi kama vile kubadiri ROOM, Kuinstall  system  installed app ku install apps ambazo zinahitaji root  access kama vile TITANIUM BACK UP





JINSI YA KUROOT


Ku root android devices kunatofautiana kati ya simu na simu , hapa nitakupatia njia za ku root baadhi ya simu na baadhi ya vision za android





1) Huawei Idoes U8150




  • wengi wetu tuna miliki simu aina hii HUAWEI IDOES U8150 simu ya aina hii ni rahisi sana fuata utaratibu huu




Kisha zima simu yako kisha iwashe utakuta app inayoitwa SuperUser imeongezeka mpaka hapo utakuwa umesha root simu yako ya HUAWEI IDOES U8150



Natumai tutakuwa tumepata mwanga japo kwa uchache kuhusu Rooting kwenye simu zetu za android kama unaswali au maoni niachie hapo kwenye sanduku la maoni
WARDAT FASHION CALL 0767486362

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]